1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kongo yaanza kampeni ya chanjo ya Ebola

Sylvia Mwehozi
9 Agosti 2018

Wizara ya afya nchini Jamhuri wa kidemokrasia ya Kongo imezindua kampeni ya chanjo ya ugonjwa hatari wa Ebola siku ya jumatano, ikiwa na matumaini ya kudhibiti mripuko wa virusi vya ugonjwa huo. Papo kwa Papo 09.08.2018.

https://p.dw.com/p/32uhu