1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kocha Matola: Soka la Tanzania bado lina changamoto kubwa

29 Januari 2024

Kocha Msaidi wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars amesema ili kumudu medani ya soka la kimataifa kwa taifa hilo kunahitajika mpango kabambe wa kuinua vipaji vipya vya vijana. Zaidi msikilize alivyozungumza na Sudi Mnette katika makala ya Kinagaubaga.

https://p.dw.com/p/4bmrT