1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kiungo wa Leipzig Szoboszlai ahamia Liverpool

Josephat Charo
3 Julai 2023

Kiungo wa klabu ya RB Leipzig Dominik Szoboszlai amemia Liverpool katika ligi ya Premier. Klabu ya Inter Milan yasema imekamilisha uhamisho wa Marcus Thuram kutoka Borussia Moenchengladbach. Kevin Prince Boateng kuamua kuhusu mustakhbali wake katika soka. Cesc Fabrigas atangaza anatundika njumu zake.

https://p.dw.com/p/4TMNL