1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kinagaubaga: Tume ya uchaguzi nchini Tanzania ni huru?

19 Julai 2024

George Njogopa anazungumza na Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi nchini Tanzania, Ramadhan Kailima kuhusu uboreshaji daftari la wapigakura, malalamiko ya upinzani kutoshirikishwa kwenye michakato ya tume na ikiwa ni kweli tume hiyo ya kusimamia uchaguzi ni huru.

https://p.dw.com/p/4iVAc