1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maisha

Kinagaubaga: Tanzania kuwaadhibu wanaotumia vibaya mitandao

Sudi Mnette1 Januari 2024

Baada ya Makamu wa Rais wa Tanzania Dokta Philip Mpango kujitokeza hadharani baada ya taribani mwezi mmoja na kuonesha kusikitishwa kwake kwa kuzushiwa kifo mitandaoni. Waziri wa Habari wa Tanzania, Nape Nnauye aliziagiza mamlaka kufanya uchunguzi kwa wote waliosambaza uzushi kwenye mitandao ya kijamii. Sudi Mnette alizungumza nae.

https://p.dw.com/p/4aM6D