1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kinagaubaga na Mwanasiasa wa Tanzania James Mbatia

Sudi Mnette27 Septemba 2022

Sudi Mnette amemkaribisha katika kiti cha mahojiano ya Kinagaubaga mwanasiasa wa siku nchini Tanzania James Mbatia. Hivi karibuni Mbatia ametumbukia kwenye mzozo na chama chake cha NCCR-Mageuzi ambacho kilitangaza kumfukuza ueneyekiti wa chama na uanachama. Mwenyewe anapinga madai yote yaliyosababisha kuchukuliwa hatua.

https://p.dw.com/p/4HP43