1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kinagaubaga: Lazima wakazi wote waondoke Ngorongoro

18 Januari 2024

Mpango wa kuwahamisha jamii ya wamasai katika Hifadhi ya Ngorongoro Tanzania, umeendelea kukabiliwa na ukosoaji huku, makundi ya watetezi yakilalamika kuwa serikali inazuia huduma muhimu kwa lengo la kuwashinikiza waondoke.

https://p.dw.com/p/4bMpm