1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kina baba wahimizwa kuwapeleka watoto kliniki

1 Desemba 2021

Kuwashawishi wanaume kuandamana na wake zao kuwapeleka watoto kliniki imekuwa kibarua kigumu kwa kliniki nyingi. Lakini kliniki moja kaskazini mwa Ghana imepata njia na tayari inazaa matunda.

https://p.dw.com/p/43hMO