Mwaka wa 2017 ulikuwa ni mbaya zaidi kwa watoto wanaoishi kwenye maeneo yenye vita, kwani wengine walitumika kama ngao vitani, washambuliaji wa kujitoa muhanga ama kulengwa kwa kiwango cha juu. Sikiliza madhila yanayowakumba watoto waliopo kwenye maeneo hayo kwenye Makala haya ya Mbiu ya Mnyonge.