SiasaKiir na Machar watakiwa kutekeleza mkataba wa amaniTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaJacob Safari12.09.201912 Septemba 2019Baraza la Viongozi wa kidini Barani Afrika limewataka viongozi wa Afrika Mashariki kuwashinikiza Rais Salva Kiir na kiongozi wa upinzani nchini Sudan Kusini Riek Machar kutekeleza mkataba wa amani kwa nia njema.https://p.dw.com/p/3PU0jMatangazo