1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Mtindo wa maishaKenya

Kenya: Wanawake waongoza kwa uvuvi endelevu wa pweza

Hawa Bihoga
10 Januari 2024

Nchini Kenya kundi la wanawake wanaovua samaki aina ya pweza wamekuwa mfano wa kuigwa baada ya kutunza shamba lao la samaki kwa ajili ya aina hiyo ya uvuvi, ambao umefanikisha kuwainua kiuchumi, kulinda mazingira na kupunguza uvuvi haramu uliosababisha idadi ya samaki kupungua.

https://p.dw.com/p/4b3FL