1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kenya: Nguo zilizowekewa chaji ya simu kutumia miale ya jua

6 Oktoba 2022

Simu za rununu nchini Kenya zimebuni fursa mbalimbali kwa watoa huduma mbalimbali zinakonazo na simu. Ruuj Caflon, mhitimui wa chuo kikuu, ni mmoja wao. Anatengeneza nguo ambazo zinaweza kuchaji simu na kutoa nuru. Tizama juhudi za kijana huyo mvumbuzi wa teknolojia kwenye video hii ya Kurunzi.

https://p.dw.com/p/4Hq8v