1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kamari ya soka yapamba moto Kenya

John Marwa24 Februari 2016

Tabia ya kuweka dau kwenye mechi za vilabu vya soka duniani sasa imekuwa biashara kubwa nchini Kenya, ambako inaratibiwa kama kamari nyengine za kawaida, ikizungusha mamilioni ya shilingi kila msimu wa ligi unapowadia. John Marwa anaangalia namna kamari hii inavyozama kwenye maisha ya wakaazi wa mji wa Kisumu.

https://p.dw.com/p/1I15W