1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi za wanawake katika kuwasaidia wasichana kujiendeleza

3 Septemba 2021

Kwenye makala ya Wanawake na Maendeleo, Lilian Mtono anazungumzia wanawake wanaoshughulika moja kwa moja na wasichana wanaoshindwa kuendelea na masomo ama baada ya kuachishwa kinguvu au kukosa fursa, na wao sasa wanawafungulia mlango mwingine wa matumaini.

https://p.dw.com/p/3zrpJ