1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi za vijana wa Kibra kuusafisha Mto Nairobi

Thelma Mwadzaya mmt_28 Juni 2021

Mto wa Nairobi umechafuka. Hata hivyo vijana wa eneo la Kibra ambako mto huo unapitia wameamua kuusafisha ili kuunusuru. Juhudi zao zimetambulika baada ya mmoja wao kwa ushirikiano na wenzake kutunukiwa tuzo ya mwanamuziki bora zaidi. Makala ya mazingira inaangazia juhudi za vijana wa Kibra kuusafisha Mto Nairobi.

https://p.dw.com/p/3vfYL