1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Juhudi za amani kabla ya uchaguzi Kenya

16 Juni 2022

Baraza la waumini wa dini mbalimbali nchini Kenya IRCK laendesha mafunzo kwa vijana wa Mombasa na wa Kaunti ya Kwale. Mafunzo hayo yanalenga kuwafanya vijana hao kuwa mabalozi wa amani badala ya watu wanaoivuruga.

https://p.dw.com/p/4CpLs