1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW
Vyombo vya habari

Jinsi ya kuzuia uhalifu wa mtandaoni

Sylvia Mwehozi6 Machi 2018

Ni mara kadhaa tumesikia wadukuzi wa nchi fulani wakifanikiwa kuingia katika mifumo ya nchi nyingine na kuiba taarifa mbalimbali. Kitu kimoja ambacho wahalifu wa mitandaoni wanakihitaji ili kufanya mashambulizi ni taarifa tu, kadri zinavyokuwa nyingi ndivyo inavyokuwa rahisi kwao kupenya. Sema Uvume inazungumzia makosa ya kila siku tunayoyafanya yanayowapa wepesi wahalifu kudukua taarifa zetu.

https://p.dw.com/p/2tkhj