1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jinsi ya kujilinda na mashambulizi ya mitandaoni

Sylvia Mwehozi 1 Juni 2020

Watu ambao wanaunga mkono taarifa za uzushi huwa wanaandaa mkakati wa kuwashughulikia waandishi wa habari na wanaharakati wanaojaribu kuchuja pumba na chuya. Je, jinsi gani unaweza kujilinda na mashambulizi ya mitandaoni ukiwa unapinga taarifa za uwongo?

https://p.dw.com/p/3d6fI