1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Jeshi la Kenya lashiriki katika biashara ya magendo

Saumu Ramadhani Yusuf/M M T17 Novemba 2015

Jeshi la ulinzi la Kenya linaloshiriki katika operesheni ya kupambana na kundi la Itikadi kali nchini Somalia Al Shabaab, limetuhumiwa kuhusika katika biashara ya magendo ya sukari na mkaa nchini humo. Saumu Mwasimba alizungumza na Afisa wa Mawasiliano kutoka wizara ya ulinzi ya Kenya Borgita Ong'eri aliyejibu tuhuma hizo.

https://p.dw.com/p/1H6zA