Jeshi la Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo limeua wanamgambo wanne na kujeruhi wengine 3 katika operesheni linayoifanya katika baadhi ya vijiji maeneo ya Kigoma wilayani Uvira tangu jumapili dhidi ya makundi yenye silaha. Mitima Delachance anaripoti zaidi kutoka Bukavu.