1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, wanawake leo hii wamekuwa na haki zaidi kuliko wanaume?

12 Machi 2018

Asilimia 77 ya watu kusini mwa Jangwa la Sahara barani Afrika ni vijana chini ya miaka 35. Vijana Mubashara - 77 Asilimia ni jukwaa lao, kupitia DW. Katika Sabini na Saba asilimia kijana tunakuuliza, je, wanawake leo hii wanapewa haki zaidi kuliko wanaume kutokana na kampeni tofauti zinazoendeshwa kote ulimwenguni kupigia debe haki za wanawake?

https://p.dw.com/p/2u94f