1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, Harry Kane ataendelea na kasi aliyoanza nayo?

21 Agosti 2023

Timu zilizopandishwa daraja msimu huu Heidenheim na Darmstadt zimekuwa na mwanzo mbaya wa Ligi Kuu ya Ujerumani baada ya kupokea kichapo mwishoni mwa wiki katika mechi zao za kwanza. Je, hii ni ishara ya jinsi mambo yatakavyokuwa kwa timu hizo msimu huu? Studioni kupiga gumzo la Bundesliga Jacob Safari yuko na Bruce Amani, wasikilize.

https://p.dw.com/p/4VPZ6