1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je, China yaendeleza ukoloni mamboleo Afrika?

17 Februari 2021

Afrika Mashariki imekuwa ikiongeza juhudi za kuwafundisha raia wake utamaduni wa Kichina hasa kupitia lugha. Nchini Kenya lugha ya Mandarin hufunzwa shuleni kama lugha teule katika mtaala wa kitaifa, lakini nchini Uganda ni somo la lazima katika baadhi ya shule. Je hu uni ubadilishanaji tu wa utamaduni au kuna mengi zaidi?

https://p.dw.com/p/3pUgw