1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Je afrika inawezaje kuondokana mgogoro wa umeme wa uhakika?

Sylvia Mwehozi
20 Februari 2024

Afrika ina vyanzo vingi vya nishati mbadala ambavyo vinaweza kulipatia bara hilo nishati ya kutosha na ya uhakika. Hata hivyo, pamoja na utajiri huo, takribani watu milioni 600 kati ya watu bilioni 1.4 barani humo wanakosa huduma ya uhakika ya umeme. Katika vijana mubashara leo tunakuuliza kijana, je afrika inawezaje kuondokana na kadhia hiyo ya ukosefu wa umeme wa uhakika?

https://p.dw.com/p/4cdF3