1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ipi hatima ya Ulaya baada ya uchaguzi wa bunge la Ulaya?

14 Juni 2024

Katika Maoni mbele ya Meza ya Duara, Mohammed Khelef amewashirikisha wadau kadhaa kuzungumzia mafanikio yaliyopatikana kwa vyama vya siasa kali za mrengo wa kulia katika uchaguzi wa bunge la Ulaya.

https://p.dw.com/p/4h1t8