1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

IEBC: Daftari la wapiga kura Kenya, lakamilika

Thelma Mwadzaya11 Julai 2022

Tume ya uchaguzi nchini Kenya IEBC imesema katika kikao cha uchaguzi kilichofanyika hii leo kwamba daftari la wapiga kura liko tayari kwa wanaotaka kuliona na kufahamisha kuwa wpigakura milioni 22 wamesajiliwa kushiriki kwenye uchaguzi wa mwezi ujao. Thelma Mwadzaya alituarifu zaidi kutoka Nairobi.

https://p.dw.com/p/4DyRg