1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Idadi ya waomba hifadhi yaongezeka Ujerumani

Harrison Mwilima/MMT25 Oktoba 2021

Katika Makala ya Sura ya Ujerumani safari hii tunaangazia wimbi jipya la wakimbizi na wahamiaji wanaoomba hifadhi na jinsi Ujerumani na nchi nyingine za Umoja wa Ulaya zinavyoituhumu Belarus kwa kuchangia tatizo hilo. Mwandaaji na msimulizi ni mimi Harrison Mwilima 

https://p.dw.com/p/428XE