1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Huduma duni za afya ya uzazi zawakwaza wanawake wakimbizi

Lubega Emmanuel/MMT8 Aprili 2021

Kwenye makala ya Wanawake na Maendeleo, Emmanuel Lubega anaangazia jinsi kina mama ni wapambanaji katika kukidhi mahitaji yao binafsi na ya familia zao, na jinsi kukwazwa kwao na masuala kama huduma duni za afya ya uzazi khuathiri maendeleo yao kimapato.

https://p.dw.com/p/3rixK