1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hofu ya wanawake nchini Afghanistan kuhusu Taliban

Zainab Aziz9 Septemba 2021

Makala ya Wanawake na Maendelea safari hii inaangazia hofu ambayo imewagubika kina mama nchini Afghanistan baada ya wapiganaji wa Taliban kuchukua mamlaka. Je hofu hiyo inatokana na nini? Zainab Aziz anasimulia zaidi.

https://p.dw.com/p/406il