JamiiHatari za kutumia jiko la gesiTo play this audio please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoJamiiSalma mkalibala14.07.202014 Julai 2020Matumizi ya majiko ya gesi yameongezeka nchini Tanzania katika miaka ya hivi karibuni, lakini pia yana madhara yake. Kwavile gesi inashika moto mara moja na kusababisha madhara mabaya iwapo kutakosekana uangalifu mzuri. https://p.dw.com/p/3fIs1Matangazo