1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali si shwari ndani ya ACT Wazalendo

25 Januari 2018

Chama cha upinzani nchini Tanzania cha ACT Wazalendo kipo katika hali ya sintofahamu baada ya kuondokewa na wanachama wake 17 waliokuwa viongozi na kuhamia chama tawala, CCM. Godwin Kayoka aliyekuwa mwenyekiti wa ACT mkoani Tabora, amezungumza na DW.

https://p.dw.com/p/2rSna