1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Hali ilivyokuwa katika wilaya ya Mbarara, Uganda

14 Januari 2021

Rais Yoweri Museveni amepiga kura katika kijiji chake cha Rwakitura katika wilaya ya Mbarara kusini magaribi mwa Uganda, ambako pia ni ngome yake. Daniel Gakuba amezungumza na mmoja wa madiwani katika wilaya hiyo, Imam Shafi Senyonga, ambaye anasema yamejitokeza matatizo, lakini akianza kueleza yaliyotokea katika kituo ambacho Museveni alipiga kura katika kijijini cha Rwakitura.

https://p.dw.com/p/3nuun