1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Gladbach yakataa ofa ya Bayern kuhusu Yann

17 Januari 2023

Borrusia Mönchengladbach imeikataa ofa ya Bayern Munich ili wamruhusu mlindalango wao raia wa uswisi Yann Sommer kuhamia Allianz Arena. Mjerumani Alexander Zverev ashinda kwa tabu na kusonga mbele duru ya pili ya mashindano ya tenisi ya Australian Open. Sikiliza mahojiano kati ya Sylvia Mwehozi na Josephat Charo.

https://p.dw.com/p/4MJ4g