1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Ghana: Kuyageuza mabaki ya mavuno mashambani kuwa bidhaa za kuuzwa

2 Novemba 2021

Kampuni changa nchini Ghana hutumia mabaki ya mazao baada ya mavuno kwenye biashara. Kampuni hiyo Agromyx hushirikiana na wakulima wadogowadogo kushughulikia mabaki ya mazao yao kutengeneza vyakula au bidhaa za kuuzwa kama vitafunwa.

https://p.dw.com/p/42Sv3