1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Getrude Clements, mwanaharakati wa afya ya uzazi Tanzania

29 Oktoba 2021

Matunda ya safari yake yalianza kuonekana mwaka 2016 alipowawakilisha vijana na watoto wote ulimwenguni katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu athari za kimazingira. Baadae ombwe lililopo la elimu ya afya ya uzazi ndilo linalomsukuma kutumia mitandao ya kijamii kuelimisha umma, na anashuhudia matokeo mazuri. Mwanahabari chipukizi Hadija Halifa na mengi zaidi kwenye #Msichana Jasiri

https://p.dw.com/p/42LQk