1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Freiburg kukwaana na Frankfurt Jumatano

24 Januari 2023

Mechi za mzunguko wa 17 za ligi kuu ya kandanda ya Ujerumani Bundsliga zinaendelea Jumatano (25.01.2023) katika kile kinachojulikana kama "Englische Woche" ambapo mechi huchezwa pia katikati ya wiki. Wakati huo huo Viktoria Azarenka ameingia nusu fainali ya mashindano Australian Open. Msikilize Josephat Charo akihojiwa na Zainab Aziz.

https://p.dw.com/p/4MdRG