1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Frankfurt haitamuuza Randal Kolo Muani

Josephat Charo
10 Januari 2023

Mkurugenzi wa michezo wa Eintracht Frankfurt Markus Krösche amesema hawatawauza wachezaji muhimu kama vile Randal Kolo Muani. Dani Olmo wa RB Leipzig ana mipango ya kurejea kwao Uhispania siku za usoni. Na De Ligt anataka kung'ara na klabu yake ya Bayern Munich. Kwa haya na mengine yanayoendelea katika Bundesliga msikilize Josephat Charo akihojiwa na Saumu Njama.

https://p.dw.com/p/4LyRM