1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Fatema:Nitapambania afya ya jamii yangu

8 Februari 2023

Fatema Juma mwanamke alinaepambania afya ya jamii kwa kutoa elimu ya lishe na mazoezi ili kupunguza uzito uliopitiliza.Ameamua kujikita katika hilo kutokana na yeye kuwahi kukumbwa na tatizo hilo ambalo lilileta athari kwa familia yake.Tazama video

https://p.dw.com/p/4NFAG