1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

EU yapendekeza muswada wa sheria kulinda sekta ya habari

Daniel Gakuba21 Septemba 2022

Makala ya mwangaza wa Ulaya siku ya leo inamulika halmashauri kuu ya Umoja wa Ulaya kupitisha muswada wa sheria itakayolinda sekta ya habari kutoingiliwa kisiasa, sheria hiyo pia itasimamia ulinzi wa waandishi wa habari. Sikiliza makala na Daniel Gakuba.

https://p.dw.com/p/4H9Hf