1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Kuzikabili habari potofu mtandaoni

Hawa Bihoga
13 Desemba 2023

Video zilizojaa hotuba za chuki na habari za uongo zimekuwa zikiwafikia kwa haraka mamilioni ya watu mtandaoni nchini Kenya. Esther Kazungu muhamasishaji maarufu katika mtandao wa TikTok na mwanaharakati wa mitandao Kenya akiwa na programu ya Fumbua wanaungana ili kuondoa kadhia hiyo.

https://p.dw.com/p/4a7YK
Ruka sehemu inayofuata Zaidi kutoka kipindi hiki
Ruka sehemu inayofuata Kuhusu kipindi

Kuhusu kipindi

Kenia Mombasa Ummi mit Kollegen bei blood festivals
Picha: Fathiya Bayusuf/DWPicha: Fathiya Bayusuf/DW

Kurunzi Wanawake

Vidio ya habari na matukio