1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Elimu ya Sayansi na Hisabati kwa wasichana Tanzania

Prosper Kwigize8 Mei 2023

Tanzania imeanzisha mpango maalumu wa kusaidia kuinua kiwango cha ushiriki na ufaulu wa wasichana katika masomo ya sayansi na hisabati kwa lengo kuongeza wataalamm wa sayansi, madaktari na wahandisi. Sikiliza Makala Yetu Leo, ufahamu zaidi.

https://p.dw.com/p/4R33m