1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Elimu kwa Warohingya bado kitendawili

12 Aprili 2023

Wakimbizi wa Rohingya wengi wao wanaoishi nje ya Myanmar bado wanakabiliwa na hali tete. Wengi bado hawahisi kama wako salama, na kupata elimu kwao bado ni kitendawili. Basi hii leo, kutana na binti huyu aliyepambana kimasomo hadi kupata shahada ya kwanza. Njia haikuwa nyepesi hata kidogo. Tizama video hii kwa mengi zaidi. #Kurunziwanawake

https://p.dw.com/p/4Py6N