1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Eintracht Frankfurt Mabingwa Ulaya

Grace Kabogo19 Mei 2022

Timu inayoshiriki Ligi Kuu ya kandanda ya Ujerumani, Bundesliga ya Eintracht Frankfurt ndio mabingwa wa mwaka huu, wa kombe la ligi ya Ulaya, Europa League, baada ya kuifunga timu ya Rangers kutoka Scotland kwa mabao matano kwa manne kupitia mikwaju ya penalti. Grace Kabogo amezungumza na mwandishi wa zamani wa DW na mchambuzi wa kandanda, Sekione Kitojo. kwanza anaeleza

https://p.dw.com/p/4BVrM