Wazee wengi huteswa na kudhulumiwa kwani hawawezi kujikumu wala kujitetea. Serikali ya Kenya kila mwezi inawapa wazee kiasi fulani cha fedha ili waweze kujikimu kimaisha. Makala Yetu Leo inaangazia changamoto za rika hili na mikakati ya kuwatunza wazee hao.
https://p.dw.com/p/2gn9L
Matangazo
Wazee wakipanga foleni kupata matibabu ya bure Nakuru, KenyaPicha: DW/B. MarangaWazee katika siku ya kupinga dhuluma dhidi yao Nakuru, KenyaPicha: DW/B. Maranga