1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Chukua hatua za kupinga ukatili wa kijinsia

Veronica Natalis
28 Novemba 2023

Wakati ulimwengu ukiadhimisha siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia, bado jamii inakabiliwa na visa vya unyanyasaji dhidi ya kundi hili. Nini kifanyike ili hatimaye vitendo hivi viondolewe? Tizama video hii kisha utupe maoni yako

https://p.dw.com/p/4ZWjZ