SiasaKimataifaChina yachukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani To view this video please enable JavaScript, and consider upgrading to a web browser that supports HTML5 videoSiasaKimataifa27.07.202027 Julai 2020China imetangaza kuchukua udhibiti wa ubalozi mdogo wa Marekani mjini Chengdu. Hii ni baada ya China kuamuru ubalozi huo kufungwa, ikilipiza kisasi dhidi ya hatua ya Marekani kuiamuru China pia kuufunga ubalozi wake mdogo mjini Houston. Kurunzihttps://p.dw.com/p/3fz6wMatangazo