1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bwala lililotelekezwa Zanzibar lageuka kitisho kwa mazingira

Salma Said30 Mei 2022

Mtu na Mazingira inaliangazia bwawa kubwa lililokusudiwa kuwa kivutio kwa watalii ambalo limeachwa kwa zaidi ya miongo mitatu bila ya kuendelezwa na kugeuka kuwa hatarishi kwa mazingira ya Zanzibar.

https://p.dw.com/p/4Bd7V