1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Biashara haramu ya Punda Afrika Mashariki

2 Machi 2022

Punda ni mnyama ambae kwa kiwango kikubwa anatumika kwa usafirishaji wa mizigo. Lakini katika kipindi cha siku za hivi karibuni kwa kiasi kikubwa amekuwa kitoweo. Thelma Mwadzaya wa Nairobi Kenya anamtazama mnyama huyo na hali yake kwa sasa.

https://p.dw.com/p/47sLu