1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bayern na Dortmund zinakimbizana mpaka mwisho

15 Mei 2023

Mbio za ubingwa wa Bundesliga zimefika mkondo wa lala salama huku zikiwa zimesalia mechi mbili tu. Mwishoni mwa wiki washindani wawili Bayern na Dortmund walidhihirisha kuwa wako tayari kushikana mashati hadi siku ya mwisho

https://p.dw.com/p/4RNMS