1. Nenda kwenye maudhui
  2. Nenda kwenye orodha kuu
  3. Nenda tovuti zaidi za DW

Bayern kufungua msimu na Bremen Wesserstadion

Josephat Charo
30 Juni 2023

Mabingwa ligi kuu ya Ujerumani Bayern Munich watafungua msimu wa 2023-24 Agosti 18 dhidi ya Werder Bremen katika dimba la Wesserstadion mjini Bremen. Ni mechi ya hisia nyingi na historia ndefu ya Bundesliga.

https://p.dw.com/p/4THFo